JamiiForums Usiku wa manane
Nilikushauri uweke mafuta ya taa uliona? Kesho tafuta mafuta ya taa. Watakimbia wote.

Ilitokea mwaka jana chumba cha mdada wa kazi Mmalawi, sisimizi lundo ukutani, walipotokea haijulikani.
Akasema apate mafuta ya taa akapaka. Mpaka leo hata mmoja hakuna. Pole Mwachi

Sina mafuta ya taa na huku maduka duh mpaka boda
 
Nilikushauri uweke mafuta ya taa uliona? Kesho tafuta mafuta ya taa. Watakimbia wote.

Ilitokea mwaka jana chumba cha mdada wa kazi Mmalawi, sisimizi lundo ukutani, walipotokea haijulikani.
Akasema apate mafuta ya taa akapaka. Mpaka leo hata mmoja hakuna. Pole Mwachi

Asante dah wameninyima usingizi
 
Nimejitenga nayo aisee.. vijana tumche Mungu, na kuepukana na uovu
Hiii National Anthem sawa baba mchungaji tutatoa hiyo pesa ya sadaka
Screenshot_20230219-035232_1.jpg
 
Back
Top Bottom