JamiiForums Usiku wa manane
Hamuwez amini nimetoka chumban nimekuja kulala sebleni sisimizi wamejaa tena
Nilikushauri uweke mafuta ya taa uliona? Kesho tafuta mafuta ya taa. Watakimbia wote.

Ilitokea mwaka jana chumba cha mdada wa kazi Mmalawi, sisimizi lundo ukutani, walipotokea haijulikani.
Akasema apate mafuta ya taa akapaka. Mpaka leo hata mmoja hakuna. Pole Mwachi
 
Nilikushauri uweke mafuta ya taa uliona? Kesho tafuta mafuta ya taa. Watakimbia wote.

Ilitokea mwaka jana chumba cha mdada wa kazi Mmalawi, sisimizi lundo ukutani, walipotokea haijulikani.
Akasema apate mafuta ya taa akapaka. Mpaka leo hata mmoja hakuna. Pole Mwachi
Utakuja kuwasha moto wewe.....😂
Uogopi sasa..?
 
Back
Top Bottom