JamiiForums Usiku wa manane
Hili bus la Aboud toka Dar- Iringa ni la kifara sana. Limenifanya niingie home saa Saba hii usiku Mbeya pumbaff Aboud Bus Service, kiufupi sipandi mabus yao tena
 
Na nitawatolea report mnaohisika na route ya Dar - Iringa kwa jinsi mnavyochelewesha abiria kwa mambo yenu binafsi nyambafff
 
Nimekaa Dar hizi week mbili, toka home Mbezi beach Shule nyuma ya Shamo Tower mpaka Posta ni karaha. Habari za kuamka kilasiku saa kumi nakuanza kujiandaa kwenda kazini inakera sana. Hapo bado muda wa jioni unapotoka ofisini kufika home saa mbili usiku. Muda wa kupumzika mi machache sana
 
Back
Top Bottom