JamiiForums Usiku wa manane
00:29 Sometimes nigga nawaza ni hijack plane??
Ila nikishituka nakuta nimeweka miguu ndani ya beseni
Na Sina Cha kucomplain coz life ni zaidi ya cycle ya food chain
 
Leo nimewaza kuhusu my future life.
Nikaona nisipokaza life will be quite tough.
Suddenly I thought about my future unknown wife.
Yeye ana mtoto, Mimi mponda kokoto
Dah nimewaza na dogo atakae kuja atapitia huu msoto??
Let me work hard nivunje this damn circle
 
Back
Top Bottom