Ko unamaanisha umempa talaka??, Bantu Lady njoo umuone Kaka yako🤔🤔
Mkuu haujajua kutag mpaka leo??[mention]Dahan [/mention]
[mention]Mr kenice [/mention] [mention]Intelligent businessman [/mention]
[mention]Bantu Lady [/mention]
Aisee Tena sio anaejiuza, but still nilisepaaa, I wonder Hawa wanatoa huo ujasiri wapii??Jamn swala la kununua demu usilione laa ajabu sana nikweli ni swala la hovyo ila kama hujalifanya shukuru tu mana hata wanaolifanya hawajui kwann wanatenda.
Nishapiha mbona 😂😂kataa punyeto usiku wa manane
naona hatimae umekisaliti chama chakoo, ewe ex balozi mwandamizi wa mkono bao na maendeleo ya kumwaga njeekataa punyeto usiku wa manane
IpiAh naangalia katuni hapa
Mkuu kama umeelewa somo la upekee wa mtu huwezi pata shida na hili jambo naona una umiza kichwa sana hapo kila siku swali hilo hilo people are uniqueAisee Tena sio anaejiuza, but still nilisepaaa, I wonder Hawa wanatoa huo ujasiri wapii??
Hayaaa dogo, vipi huko dasilamuuu mnasemaje??nilitaka uongee
😃😃 utatoa upepo badala ya kutoa sha#waNishapiha mbona 😂😂
Uku wagonjwa th mzeeHayaaa dogo, vipi huko dasilamuuu mnasemaje??
Bantu Lady umeongea facts,kuna members wanaharibu uzi,uzi unasema "Jf usiku wa manane" lakini unakuta mtu saa 5 asubuhi anazunguka humu,wakuu tufuate uhalisia ingawa sijui sheria za huu uzi😓ni hilo tu kwa leo 🙏Mnaliharibu hili chimbo. Maana nzima ya usiku wa manane inatoweka.
Zamani ililuwa saa 6 kamili ya usiku, ndiyo watu tunaanza kuufufua uzi. Ikifika saa 11 alfajiri tunautelekeza.
Sasa hivi huu uzi hauna tofauti na nyuzi zingine za chitchat. Mchana unaukuta una trend!!!
Mwenye kuanzisha alisema ni maalumu kwa usiku. I wish watu wangeendeleza hili.
Zisha toka hapa nahisi kuwa mwepesi😃😃 utatoa upepo badala ya kutoa sha#wa