National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
anakula mti, unafikiria anakumbuka kuja hata kutupa hi hapa 😅😅My boss Bantu Lady, naona umeamua kukikimbia chama Cha usiku kisa tamthilia ya huba na kitimtim
anakula mti, unafikiria anakumbuka kuja hata kutupa hi hapa 😅😅My boss Bantu Lady, naona umeamua kukikimbia chama Cha usiku kisa tamthilia ya huba na kitimtim
pole, imagine mambo mazuri .. hakikisha hewa ya kutosha inaingia chumbaniUsiku wa kuamkia leo mindoto ya ajab ajab tu ilitawala.
Sina la kusema, nakuona mfalme wa mizagamuanoanakula mti, unafikiria anakumbuka kuja hata kutupa hi hapa 😅😅
Acha nifanye zoezi kwanza hapa leo nipo na nyie hadi asubuhiSina la kusema, nakuona mfalme wa mizagamuano
Hivi bro ujasiri wa kununua mademu, huwa mnautoa wapi???, Maana Jana nilikuwa sehemu flani na mabroo dahAcha nifanye zoezi kwanza hapa leo nipo na nyie hadi asubuhi
mbona simple tu mkuu, alafu jua wanawake kariba wengi siku hizi wanauza, ila style za kuuza ndio tofauti.. alie mpenzi wa mtu asubuhi jioni anasimama Road kuuza, na alie mke wa mtu nyumbani ofisi anauzaHivi bro ujasiri wa kununua mademu, huwa mnautoa wapi???, Maana Jana nilikuwa sehemu flani na mabroo dah
Uzi hawezi kuharibika sherehe ndiyo watu,uzi ukiwa na watu ina maana umechangamka usiweke makasiriko mpaka huingii tena humu,mnataka mbaki wawili tu kiza kinene kikiingia ,tufurahie tuMadam Bantu Lady I think umenielewa vibaya, mi nimewashitua wanna maana nawaona kimya siku hizi.
Halafu wanaotrendisha uzi ni Mimi??, Or umeamua kumalizia hasira zako kwangu??, and beside you should have quoted every body, not just me as if iam guilty.
Sorry if I went above the law, but this is how I remove trash out of my chezt
Mwenye sikio na asikie neno bantu lady awaambia wana Jf usiku wa mananeMnaliharibu hili chimbo. Maana nzima ya usiku wa manane inatoweka.
Zamani ililuwa saa 6 kamili ya usiku, ndiyo watu tunaanza kuufufua uzi. Ikifika saa 11 alfajiri tunautelekeza.
Sasa hivi huu uzi hauna tofauti na nyuzi zingine za chitchat. Mchana unaukuta una trend!!!
Mwenye kuanzisha alisema ni maalumu kwa usiku. I wish watu wangeendeleza hili.
Nashangaa anavyosisitiza kuwa mpaka saa 6, mi nimemuambia as long as everyone ana free Will. Basi tuenjoyUzi hawezi kuharibika sherehe ndiyo watu,uzi ukiwa na watu ina maana umechangamka usiweke makasiriko mpaka huingii tena humu,mnataka mbaki wawili tu kiza kinene kikiingia ,tufurahie tu
Ushasikia kitu kinaitwa free Will?Mwenye sikio na asikie neno bantu lady awaambia wana Jf usiku wa manane
YeapNashangaa anavyosisitiza kuwa mpaka saa 6, mi nimemuambia as long as everyone ana free Will. Basi tuenjoy

Duh 🤔🙄, yaani huwa sinywi bia,sivuti sigara Wala uraibu wowote, so ma big bro wakajaribu kuniconnect na manzi flani hivi mwanachuo. He si nilisepaaambona simple tu mkuu, alafu jua wanawake kariba wengi siku hizi wanauza, ila style za kuuza ndio tofauti.. alie mpenzi wa mtu asubuhi jioni anasimama Road kuuza, na alie mke wa mtu nyumbani ofisi anauza
nipe connection hiyo mzee, nipo hapa ddcDuh 🤔🙄, yaani huwa sinywi bia,sivuti sigara Wala uraibu wowote, so ma big bro wakajaribu kuniconnect na manzi flani hivi mwanachuo. He si nilisepaaa
Hii kitu siwezi katika vitu vilinishinda ktk maisha basi ni hili la kununua mademu,Hivi bro ujasiri wa kununua mademu, huwa mnautoa wapi???, Maana Jana nilikuwa sehemu flani na mabroo dah
Dah ilikuwa ni private party tu, na ma big broo waliona wanisetie maana wanajuaga Niko single kitambooonipe connection hiyo mzee, nipo hapa ddc
Nawashangaa kina National Anthem, tena ilikuwa party. Halafu huyo manzi ni mwanachuo ka cute flani ivi, lakini still nilisepaaaHii kitu siwezi katika vitu vilinishinda ktk maisha basi ni hili la kununua mademu,
Ila si umeoa mkuu??, Au ndo ngoma inogile 🤔🤔nipe connection hiyo mzee, nipo hapa ddc