SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,562
I go for the đź’°
Usiponiona uniulize
Usiponiona uniulize
Acha ujinga ww mchumba hasomeshwiNipo napambana na stress sina udingiz dem wangu ninayempenda sana kaenda kulala kwa mwanaume mwingine kazima na simu tangu saa11jion. Yupo mbli and namsomesha chuo. Tumekuwa na ugomvi wa hspa na pale baada ya tabia yake kubadilika nikawa namshutum kaanzisha mahusiano.
Nimeshampigia room mate wake anasema hajarudi. She is in 2st yr.
Nafikiria adhabu nzuri ya kumpa ili ajutie kosa hili ikiwezekana maisha yake yote
Nakazia
Oa acha wake za watu ni mbaya Kwa afya ya kila mtuNdoa ni majaliwa sio lazima kila mtu aoe
Hajambo aliniambia anaenda Songea kufunga mzigo wa maembe sijui kama amerudi au bado.Shemeji, mumeo chizi Maarifa hajambo??
Kipenz njoo tulale basi nakumic ujue japo ubusy wa kazi unanibana il sichoki kukukumbuka Kipenz changu Unique FlowerOa acha wake za watu ni mbaya Kwa afya ya kila mtu
Nakupenda Mimi Jamani nije nimevaaje??Kipenz njoo tulale basi nakumic ujue japo ubusy wa kazi unanibana il sichoki kukukumbuka Kipenz changu Unique Flower
Mnaliharibu hili chimbo. Maana nzima ya usiku wa manane inatoweka.
Madam Bantu Lady I think umenielewa vibaya, mi nimewashitua wanna maana nawaona kimya siku hizi.Mnaliharibu hili chimbo. Maana nzima ya usiku wa manane inatoweka.
Zamani ililuwa saa 6 kamili ya usiku, ndiyo watu tunaanza kuufufua uzi. Ikifika saa 11 alfajiri tunautelekeza.
Sasa hivi huu uzi hauna tofauti na nyuzi zingine za chitchat. Mchana unaukuta una trend!!!
Mwenye kuanzisha alisema ni maalumu kwa usiku. I wish watu wangeendeleza hili.
Why huwa unapanic hivyo? Hata muda huu bado, saa 6 ndiyo inaanza. Nimejibu tu but saa 6 kamili ndiyo inatakiwa uzi uanze.Madam Bantu Lady I think umenielewa vibaya, mi nimewashitua wanna maana nawaona kimya siku hizi.
Halafu wanaotrendisha uzi ni Mimi??, Or umeamua kumalizia hasira zako kwangu??, and beside you should have quoted every body, not just me as if iam guilty.
Sorry if I went above the law, but this is how I remove trash out of my chezt
Wala sijapanic, niko kawaida tu. Labda umeogopa tu(umeweka sauti kwenye ujumbe huo) Bantu LadyWhy huwa unapanic hivyo? Hata muda huu bado, saa 6 ndiyo inaanza. Nimejibu tu but saa 6 kamili ndiyo inatakiwa uzi uanze.
Uzi mzuri sana huu but, kila mtu akijianzia muda wake inaharibu ila ladha.
Si umeniita nimepatwa na nini? ndiyo jibu langu hilo Mkuu Intelligent businessman uwe na usiku mwema.
Nakupenda Mimi Jamani nije nimevaaje??
mtafikiri mpo darasa la saba