JamiiForums Usiku wa manane
Nimeelewa brother, lakini nadhani mara nyingi unapoonza kusali/kuomba nguvu ya Mungu ama tunawaza kusema Roho mtakatifu (upande wa christian) inakuwezesha au kukusaidia jinsi bora ya kuomba.
Maana sote hatujui namna bora ya kuomba isipokuwa kudaiwa na Mungu ikiwa umeweka nia.
Nilipoingia maombi nikatoka mazima huku maana yakikuwa ya muda
 
Back
Top Bottom