Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Asante kwa kukumbusha, nami ndiyo mida yangu ya kusali hii. Ni kama naongea na Mungu hapa na hapa 🙏🙏🙏midnight prayers
Inasadikiwa usiku wa manane ndio muda sahihi wa kusali ,sala za usiku wa manane au ibada za usiku wa manane ndio bora kuliko wakati wote.View attachment 2484089


