fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 538
- 559
Njoo pm tuyajengeMume sina,pesa sina nipo na komwe tu....usingizi nautoa wapi mkuu?![]()
Njoo pm tuyajengeMume sina,pesa sina nipo na komwe tu....usingizi nautoa wapi mkuu?![]()
Si ndo maana walisema wote wenye simu za laki 3 wauawe....we unadhani walikosea mkuNimeattach nyimbo, haionekani kwako?
Kama una komwe Kama la Rihanna hupaswi kukosa mume hiyo umejitakia Ila kwenye pesa Mungu ndiye agawaye riziki endelea kuzitafuta utunxie wanao na uzee wako 🍖Mume sina,pesa sina nipo na komwe tu....usingizi nautoa wapi mkuu?😕
Nina watoto utalea? Ujibu ndo nikuje mkuuNjoo pm tuyajenge
😉barikiwa sanaKama una komwe Kama la Rihanna hupaswi kukosa mume hiyo umejitakia Ila kwenye pesa Mungu ndiye agawaye riziki endelea kuzitafuta utunxie wanao na uzee wako 🍖
Mi mwenyewe nimeamshwa na ndoto ya ajabu ajabu, ningejua muislamu ningeende msikitini maana adhana ndio inaadhiniwa muda huuLeo lazima niende Ibadan, haiwezekani niote nimeokota pesa halafu muda huu sizioni
Anha,kumbe sawa mkuu😀😀😀 huwa silali usiku kabisa, sema huwa napita pitia kusoma bila comment .. hapa nikitoka kanisani ndia nitalala sasa
Bila shakaNina watoto utalea? Ujibu ndo nikuje mkuu
unalala usiku kwa raha gani tulizo nazo aseee 😃😃😃..Anha,kumbe sawa mkuu
Yaan acha tu,mi navyolala Jana nikasema ningepata kaz hata ya kukesha ningefanya ili tu nifikie malengounalala usiku kwa raha gani tulizo nazo aseee 😃😃😃..
Ikifika saa 11 kasoro dakika 3 kuna wimbo wanaucheza kila siku, 'amani kwa wote'Nawaza Sana pesa kuliko mademu, aisee kwanza hapa nasikiliza Upendo radio naona wanapiga gospel laini sana.
![]()
Upendo FM, 107.7 FM, Dar es Salaam, Tanzania | Free Internet Radio | TuneIn
Upendo FM - Dar es Salaam, Tanzania - Listen to free internet radio, news, sports, music, audiobooks, and podcasts. Stream live CNN, FOX News Radio, and MS NOW. Plus 100,000 AM/FM radio stations featuring music, news, and local sports talk.tun.in
So unachezwa sasa?Ikifika saa 11 kasoro dakika 3 kuna wimbo wanaucheza kila siku, 'amani kwa wote'
Hit your pillow softly dude😊Duuh usingixi huo 😴😴😴😴😴 gudnight pipo
Hhhhhhhhhhh dah poleeeMume sina,pesa sina nipo na komwe tu....usingizi nautoa wapi mkuu?![]()
Ngoja nitafute pesa kwanza mkuu,wanaume wa sasa wanadharau sana ukiwaomba matumiziHhhhhhhhhhh dah poleee
Ndo maisha
Ila mbona waweza tafuta mume na ukapata
Hahahahahaha wewe kweli ni mfuatiliajiIkifika saa 11 kasoro dakika 3 kuna wimbo wanaucheza kila siku, 'amani kwa wote'
omba part time kuwa modYaan acha tu,mi navyolala Jana nikasema ningepata kaz hata ya kukesha ningefanya ili tu nifikie malengo
Wanalipa mkuu?omba part time kuwa mod