Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,146
Siamini kama ninakesha
Asee, hakuna namna tupo wengi
Siamini kama ninakesha
Diamond yatapitaMaisha haya bas tu
Diamond yatapita
Daaah usingixi sikupata hata yaaani sijuagi kwann sijawahi lalaa saa 6 usiku kushuka ni kwanzia saa7 tu kuendelea daaah hichi kichwa hiki sijuiMwamba umerudi kujumuika kwenye mkesha, maana uliaga mapema
Kuna MTU anatumia sura yako au huyo mwamba anakuwaza sanaKuna mwamba kanipigia simu na kunitolea maneno makali ati namtokea kila usiku na nnamchawia....yaani kanikata mood yote na usingizi umepaaa kabisa..,
Mi ni mwanga nimetafuta usingixi nusu saa hola nimeamua kurudi tu sasa 😑KIDUME20 uliaga tangia 1:46
Au naww ni mwanga mwenzangu
At least....naona Mungu kaona unawaza sana pesa kuliko yeyeLeo lazima niende Ibadan, haiwezekani niote nimeokota pesa halafu muda huu sizioni
Pesa sio matako kwamba kila mtu anayoLeo lazima niende Ibadan, haiwezekani niote nimeokota pesa halafu muda huu sizioni
Unataka umiliki kiasi gani ndio useme unazo?Pesa sio matako kwamba kila mtu anayo
😂ukorofi huo...ni siku tu hutokea usingiz unapaaHaya haya wale walinzi wakudumu jf nawasalimia kwa sauti🤝🤝
Nawaza Sana pesa kuliko mademu, aisee kwanza hapa nasikiliza Upendo radio naona wanapiga gospel laini sana.At least....naona Mungu kaona unawaza sana pesa kuliko yeye
Yaani binadamu anawaza pesa kuliko Mungu hahaha. Vitabu vinatuambia vyote ni mali za Bwana, Hana haja yakuziwaza mali zake Mungu😆At least....naona Mungu kaona unawaza sana pesa kuliko yeye
33billion$Unataka umiliki kiasi gani ndio useme unazo?
Ila kweli aiseeePesa sio matako kwamba kila mtu anayo