JamiiForums Usiku wa manane
mie niwe nchini au porini kule,jf siachi kuingia,tena nikiwa porini kule ndo naingia sana tu

namsubiri mangi afungue, nilitaka niende beach kukimbia ila kwa hali hii uongo
Mi ndo najiandaa sasa na jogging. Usiku huu haijanyeshazaidi ya manyunyu tu pande hizi za mjini hapa.
Sijajua huko To yeye Ilipo kama imeshuka asubuhi hii
 
Tumekuwa na wakati mzuri pamoja, JF usiku wa manane ndiyo sehemu, watu wanaongea kwa kuheshimian, kufurahi, upendo umezaliwa hapa 😍😍😍😍😍😍😍😍 Sasa nalala, Mungu akipenda baadaye, lindo likianza.
Next time binti wa kibantu🌹
 
Back
Top Bottom