Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,140
Kwa hiyo ipo siku utapotea tena likizo ikiisha?Ubusy tu, sikuwa naenda likizo. Sasa nimechukua likizo ya bila malipo. Napumzika kwanza maana![]()
Kwa hiyo ipo siku utapotea tena likizo ikiisha?Ubusy tu, sikuwa naenda likizo. Sasa nimechukua likizo ya bila malipo. Napumzika kwanza maana![]()
Daima tuudumishe jirani.👊hakika jirani,yaan huo ndo upendo wa Agape
Hakika brother, tunawaza kusema yupo smartOf course yuko hapa tangia 2014 lakini sio popular kama wengine. Kwahili nampa
Anaonekana ni lady anayejitambua na kujielewa, sio Hawa wa mambo mengi wanaojulikana mpaka na......![]()
Sana man👊❤Daima tuudumishe jirani.
Yeah naweza potea miaka 2, 3 😄😄😄😄 ila sasa nitabalance muda nikiweza nitakuwepo tu.Kwa hiyo ipo siku utapotea tena likizo ikiisha?
yeah,mie kwa asili ni mlinzi na popo bata, usingizi itokee tuMimi last time kuwa humu nadhani ni 2015
mtu chake amedumu sana humu 😆😆
Panapostahili sifa tukiri tu wazi mkuu. Napenda sana wanawake wanaojiheshimu jf, utagundua through their comments tuHakika brother, tunawaza kusema yupo smart
Kazi inaumiza kiuno hiyo, kama shamba ni kubwa!Kumekucha kumekuchaa,SAA 07:00 inatakiwa niwe nimeanza kuweka mbolea kwenye mahindi....tukasaidizane basss.....Amkeni kumekuchaaa!!! (Hizo morning glory zitawaponza)
Mbona narudi home sina hamu ya kuongea na yeyote yaan😂😂😂🚶🚶Kazi inaumiza kiuno hiyo, kama shamba ni kubwa!
Kazi na majukumu mengine yanatufanya tupoteage. Tunapokuwa idle as kama sasa si mbaya kukumbukana hapa though wengi hatujuani physically 😊yeah,mie kwa asili ni mlinzi na popo bata, usingizi itokee tu
Nooo ! Usifanye hivyo bwana!Yeah naweza potea miaka 2, 3ila sasa nitabalance muda nikiweza nitakuwepo tu.
yuko vzrOf course yuko hapa tangia 2014 lakini sio popular kama wengine. Kwahili nampa 🤜
Anaonekana ni lady anayejitambua na kujielewa, sio Hawa wa mambo mengi wanaojulikana mpaka na......🤭
Asante my friend Pendaelli pamoja sana 🤝Hakika brother, tunawaza kusema yupo smart
Kuna kipindi sikuwepo nchini kwa miaka 2, nilikuwa naingia jf kusoma tu bila kukoment chochote.Yeah naweza potea miaka 2, 3 😄😄😄😄 ila sasa nitabalance muda nikiweza nitakuwepo tu.
hao wazamani huwa wako smartHakika brother, tunawaza kusema yupo smart
mie niwe nchini au porini kule,jf siachi kuingia,tena nikiwa porini kule ndo naingia sana tuKuna kipindi sikuwepo nchini kwa miaka 2, nilikuwa naingia jf kusoma tu bila kukoment chochote.
Kuna muda kujipa break si mbaya.... Mambo mengine ni lazima yaendelee
namsubiri mangi afungue, nilitaka niende beach kukimbia ila kwa hali hii uongoHaya walinzi wa kudumu jf, ngoja niwaage. Wengine muda wa mazoezi umefika
Have a beautiful morning all......