fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,688
- 24,011
Wana masharti na miiko ya biashara zao hao 😆😆chini ya hapo hafungui
Wana masharti na miiko ya biashara zao hao 😆😆chini ya hapo hafungui
Naomba nimshuhudie 2014 niliwahi kuiona I'd hii yake ila sikuwa nimeizingatia miaka iliyofuata , mwaka jana nikaiona tena ,nilistaajabia kidogoMh kwa ID hii miaka 9?![]()
Kweli ,muamini brother.kwa wadada ni ngumu
Ubusy tu, sikuwa naenda likizo. Sasa nimechukua likizo ya bila malipo. Napumzika kwanza maana 🙌🏻🙌🏻🏃♀️🏃♀️Ila ndugu y acha tu niseme ilipotea mno!
na hua akifunga ,hafungui ht km kasahau funguo ndaniWana masharti na miiko ya biashara zao hao 😆😆
Of course yuko hapa tangia 2014 lakini sio popular kama wengine. Kwahili nampa 🤜Naomba nimshuhudie 2014 niliwahi kuiona I'd hii yake ila sikuwa nimeizingatia miaka iliyofuata , mwaka jana nikaiona tena ,nilistaajabia kidogo
Amen Amen brother, ila binafsi naanzia shughuli zangu za leo kwa kusali jumuiya dakika 45 zijazo04:54
Amka ukatafute rizki yako ewe mwanadamu
safi sanaTo yeye nakuona nakuona mrembo, leo nimekesha 😄😄😄😄😄
Haha umenikumbusha mangi flani jirani na nyumbani. Hela ikidondoka chini dukani kwake haokoti😆😆na hua akifunga ,hafungui ht km kasahau funguo ndani
Sababu ni matokeo kua tofauti na matarajio!Nimeona hilo pia, sijajua kwanini...
Ilikuwa The last woman standing 💪💪💪😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙋 Leo kimenuka aisee...naona ni tangu 02 na mahukoo yaan
Na hizi mvua zinavyogonga😆😆Kumekucha kumekuchaa,SAA 07:00 inatakiwa niwe nimeanza kuweka mbolea kwenye mahindi....tukasaidizane basss.....Amkeni kimekuchaaa!!! (Hizo morning glory zitawaponza😎)
hahahahaHaha umenikumbusha mangi flani jirani na nyumbani. Hela ikidondoka chini dukani kwake haokoti😆😆
Nilikuwa nazivizia sana akitoka nje, utoto bhana🤣🤣
Kabisa yaan😂😂😂 kwa kweli Leo tumelala kwa kudeka.Kulindwa na Dada kuna raha yakee😘😘Ilikuwa The last woman standing 💪💪💪😂😂😂😂😂😂
👊hakika jirani,yaan huo ndo upendo wa AgapeNa hizi mvua zinavyogonga😆😆
Nitakuja kukusaidia jirani