JahManPeace
JF-Expert Member
- Dec 1, 2019
- 473
- 662
02:02
Pole,ngoja niangalie hapa nje pana kiduka cha madawa cha masaa 24,nikuletee dawa...Cocastic, Uchira 1 & Sandy360, habari za usiku huu! Mimi Nina homa, usingizi umkata, macho kodoo... SAA 7:35 usiku DSM.
leo timu nyingi zimetoa mie mwenyewe nimemla leoNafatilia mkeka wangu bado timu moja nichukue mil 3
Unatumia kampuni gani?leo timu nyingi zimetoa mie mwenyewe nimemla leo
betpawaUnatumia kampuni gani?
1x Unyama sana kwa tz sijaona kampuni ya kufananisha nayo1×bet ninavoikubali mie ina option nyingi