Planet FSD
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 454
- 951
Mbona kimya sana? Mnambatona nini?
leo wapi Bantu Lady 😉😉00:50
Home tu, sijatoka. Wewe umetoka?leo wapi Bantu Lady 😉😉
leo nimekabwaa 😀😀😀, nimetunza kisingizio cha kesho, ili kurudi jumapili asubuhiHome tu, sijatoka. Wewe umetoka?
Happy Born day Intelligent businessman 🎂🎁Happy birthday to me 00:53
Huwa mnakutana wapiHome tu, sijatoka. Wewe umetoka?
Mimi kuna mtu hayuko hapa, so simu za usiku ole wako uwe umetoka sasa... Roho inaniuma, leo live band naikosa...leo nimekabwaa 😀😀😀, nimetunza kisingizio cha kesho, ili kurudi jumapili asubuhi
😀😀😀😀 mtu wa hivyo una mchenga dk sifuri, siku kama ya leo unampa taarifa mapema smartphone imepata hitilafu, unatumia kitochi, kitochi hakina location wala kamera, unaenda kiwanja Chenies hotel karibu akijipigisha simu usiku wa manane unasogea hotelin mnapiga story hadi achoke then una.. mbinu hiziMimi kuna mtu hayuko hapa, so simu za usiku ole wako uwe umetoka sasa... Roho inaniuma, leo live band naikosa...
😀😀😀😀 dah hamshindwi kitu nyinyi.
Keki ipo wapi tuweke jiwe la ufunguzi mwaka 2023Happy birthday to me 00:53
Hii mbinu kabambe, halafu yumo humu. Sema hatembelei baadhi ya jukwaa. Siku akijua huwa nakesha huku sijui itakuaje...😀😀😀😀 mtu wa hivyo una mchenga dk sifuri, siku kama ya leo unampa taarifa mapema smartphone imepata hitilafu, unatumia kitochi, kitochi hakina location wala kamera, unaenda kiwanja Chenies hotel karibu akijipigisha simu usiku wa manane unasogea hotelin mnapiga story hadi achoke then una.. mbinu hizi
Thank you for your hospitality Bantu Lady,Happy Born day Intelligent businessman 🎂🎁
Mkuu mi wa kiume bhana, hapa dona kg1 na nusu inanihusuKeki ipo wapi tuweke jiwe la ufunguzi mwaka 2023
😀😀😀 mie wangu yumo humu, ila hii ID ya maseke haijui.. siku ikitambua nahisi ndoa itapasuka 😀😀.. Mie sitopata taabu kesho.. uzuri mie kondoo wake.. kesho yeye anaenda kanisani mie naenda kwenye kikao badae atapokea text jamaa wamesema twende beChHii mbinu kabambe, halafu yumo humu. Sema hatembelei baadhi ya jukwaa. Siku akijua huwa nakesha huku sijui itakuaje...
Mkesha utanikutia kanisani, acha niupokee nikiwa Kanisani tu. Wewe utakuwa kwa mchepuko? Maana ushapanga jinsi ya kumtoroka mrembo wako.
Aisee, usipange kabisa, mambo yanaweza badilika. Ukajikuta unakaa tu home 🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀 mie wangu yumo humu, ila hii ID ya maseke haijui.. siku ikitambua nahisi ndoa itapasuka 😀😀.. Mie sitopata taabu kesho.. uzuri mie kondoo wake.. kesho yeye anaenda kanisani mie naenda kwenye kikao badae atapokea text jamaa wamesema twende beCh
Usifanye maisha kama kitabu cha kusoma tukariri mistari, jipongeze kwa vitu jipende mzee acha kuona dona ndiyo ugumu uganster tunaishi kufurahiaMkuu mi wa kiume bhana, hapa dona kg1 na nusu inanihusu