Binti Kirembwe
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 307
- 330
Hahahahahaha
Tufalijiane ,kama hivi wewe pisi Kali Mambo Safi ,Hahahahahaha
Binti kirembwe,hujalala tuHahahahahaha
Umepotelea wapiiiDadeki tangu usingizi upotee saa 5 up now'
Sijajua aise' na watu wa tozo wanavyopukutisha MBs, yaani nakosa vyote, usingizi na bando'Umepotelea wapiii
Mi usingizi umekata tangu saa nne hadi muda huu saa nane usiku mnene nikaona isiwe tabu nikawasha data, tatizo la kukata usingizi sijui ni nini
puli situmiiShtua kimoja cha puli usingizi utarejea.
Karbu tuchaje mkuuGomba
Asante sana mkuu.Karbu tuchaje mkuu