skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,385
Kujua tatizo ni nusu ya dawa kwanini hulitatuiYeah tatizo nalijua
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
Kujua tatizo ni nusu ya dawa kwanini hulitatuiYeah tatizo nalijua
Sijajua kwa nn Ila ntalitatua hivi karibuni kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu!
Inshallah,, ila ni vizuri ukaweka bayana kwako kubwa kwa mwingine dogoSijajua kwa nn Ila ntalitatua hivi karibuni kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu!
Sawa sawaInshallah,, ila ni vizuri ukaweka bayana kwako kubwa kwa mwingine dogo
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
Sijui ni kwa nn tu
Ni vizuri kujifunza kutoruhusu hali hii maana madhara yake ni makubwa na mabaya SanaSijui ni kwa nn tu
Ntajitahid sana mkuuNi vizuri kujifunza kutoruhusu hali hii maana madhara yake ni makubwa na mabaya Sana
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
Sawa ntajitahid kuudhibiti upopoDunia haiwezi Isha magumu best cha msingi kupambana kudhibiti upopo kama wengine Ili kuamka na afya njema uweze kukabiliana na life
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
Sawa usingizi ni mbaya kuliko njaaSawa ntajitahid kuudhibiti upopo
Aah kwa nin?!
Kwasababu usingizi unakondesha hata ule duniaAah kwa nin?!
Sawa basi ntajitahid niwe nalala