Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,404
- 4,841
005800:54am
Habari zenu wapendwa katika bwana?
005800:54am
Habari zenu wapendwa katika bwana?
jamani nimeanguka kwenye bati la mtu naombeni msaada 03:52am
tulia hapo mpaka asubuhi ,siku nyingine usisahau kuweka full tankwe una mawazo ya kuachwatulia hapo mpaka asubuhi ,siku nyingine usisahau kuweka full tank


mpka sasahivi hujalala tuPunguza kutoa siri zako hadharani bosswe una mawazo ya kuachwampka sasahivi hujalala tu

Mkuu nimechakazwa na kanjibai pigwa vibaya mno,npo zangu narudi home kufika keko nmekutana na sungusungu wananiita mi msomali hamza wamenitia pingu na wao wakakomba kila kitu mbwa hawanpo sasahivi natangatanga tu.
mkeka umebuma.Hao mmbwa wamekuhurumia sana ,hapo ukifika home unakuta kufuli limevunjwa pia. Jipange tu kiongoziUngewapa na simu tu ,maana unatupigia kelele tuliolalaMkuu nimechakazwa na kanjibai pigwa vibaya mno,npo zangu narudi home kufika keko nmekutana na sungusungu wananiita mi msomali hamza wamenitia pingu na wao wakakomba kila kitu mbwa hawanpo sasahivi natangatanga tu.
Mim hapa nina mpango nianze kukunja nguo zangu taratibu...Hadi asubuiNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
mawazo gani yanakusumbuaMim hapa nina mpango nianze kukunja nguo zangu taratibu...Hadi asubui
Yani ndugu yangu acha tu!mawazo gani yanakusumbua
dunia isimame ulambe glucose kwanzsYani ndugu yangu acha tu!