JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu nimechakazwa na kanjibai pigwa vibaya mno,npo zangu narudi home kufika keko nmekutana na sungusungu wananiita mi msomali hamza wamenitia pingu na wao wakakomba kila kitu mbwa hawanpo sasahivi natangatanga tu.
 
Mkuu nimechakazwa na kanjibai pigwa vibaya mno,npo zangu narudi home kufika keko nmekutana na sungusungu wananiita mi msomali hamza wamenitia pingu na wao wakakomba kila kitu mbwa hawanpo sasahivi natangatanga tu.
mkeka umebuma.Hao mmbwa wamekuhurumia sana ,hapo ukifika home unakuta kufuli limevunjwa pia. Jipange tu kiongozi
 
Mkuu nimechakazwa na kanjibai pigwa vibaya mno,npo zangu narudi home kufika keko nmekutana na sungusungu wananiita mi msomali hamza wamenitia pingu na wao wakakomba kila kitu mbwa hawanpo sasahivi natangatanga tu.
Ungewapa na simu tu ,maana unatupigia kelele tuliolala
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Mim hapa nina mpango nianze kukunja nguo zangu taratibu...Hadi asubui
 
Back
Top Bottom