Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Dah....huku kwetu ndiyo kimeanzaNgoja nilale sasa at least radi zimepungua

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....huku kwetu ndiyo kimeanzaNgoja nilale sasa at least radi zimepungua


haya sasa hakikisha umefungua madirisha otherwise utalowa mpaka kwenye chupi


Amempitia utopoloHivi Jobo kashapita??
Tuko pamoja4:08
NimekaribiaKaribuni daku!
mimi zaidi aisee, Jf zamani unakunywa uji unaridhika kabisa maana ukija huku raha mustareheNipo kipenzi, nimekuham sana my dear![]()
Sio corona tu, Shem hata kimbunga JOBOmimi zaidi aisee, Jf zamani unakunywa uji unaridhika kabisa maana ukija huku raha mustarehe
siku hizi sijui uchumi umekaa vibaya tunashindwa kuja kupata raha zetu huku
ila Mungu ni mwema tumevushwa salama na hili wimbi la corona