JamiiForums Usiku wa manane
Jobo kilichukua tahadhari mapema, kilimuuliza ndugu yake Corona vp TZ walikupokeaje...kilivyopata taarifa kilikuwa kipole tu

hahahahahahha

shem u mzima lakini? furaha yangu nikusikie ukiwa na furaha
Hahaha kumbe Shem una kipaji hivi, so mchezo.

Mimi mzima wa Afya hofu kwako
 
mimi zaidi aisee, Jf zamani unakunywa uji unaridhika kabisa maana ukija huku raha mustarehe
siku hizi sijui uchumi umekaa vibaya tunashindwa kuja kupata raha zetu huku
ila Mungu ni mwema tumevushwa salama na hili wimbi la corona
Acha kabisa, kipindi kile hiki kilikuwa bonge la kijiwe, story kwa sana utani wa hapa na pale yaani full burudani, siku hizi panabore unaweza ukajikuta unakesha peke yako hapa
 
Aah kipo hapo mjini sikuhizi hutakiwi kuwa na kazi moja, kuna watu wanapata hela kimasihara tu.

Za majukumu ya Mwanzo mwa wiki.
Mimi nilijua ni watu tu wanaokulana kimasihara kumbe hata pesa zinapatikana kimasihara siku hizi? Inabidi niongee na wewe kiutu uzima ili unipe connection mjini hapa
 
Back
Top Bottom