JamiiForums Usiku wa manane
Acha kabisa, kipindi kile hiki kilikuwa bonge la kijiwe, story kwa sana utani wa hapa na pale yaani full burudani, siku hizi panabore unaweza ukajikuta unakesha peke yako hapa
yaani pale ilipoadimika ilituingiza chaka kabisa mzuka ukapungua

hahahahah ni kama unapata raha fulani gafla inakatizwa na kitu fulani kuirejesha inachukua muda

shem bhana unanifanya nifurahi maana umeandika ninachojua kichwani..ila with time tutarudi tu kama zaman
 
yaani pale ilipoadimika ilituingiza chaka kabisa mzuka ukapungua

hahahahah ni kama unapata raha fulani gafla inakatizwa na kitu fulani kuirejesha inachukua muda

shem bhana unanifanya nifurahi maana umeandika ninachojua kichwani..ila with time tutarudi tu kama zaman
Kabisa, au tutafute kijiwe kingine cha kushinda nacho maana kwa mchana ni rahisi zaidi kukutana hata wawili watatu kuliko usiku ukizoingatia na hiki kijibaridi cha usiku siku hizi.
 
Kabisa, au tutafute kijiwe kingine cha kushinda nacho maana kwa mchana ni rahisi zaidi kukutana hata wawili watatu kuliko usiku ukizoingatia na hiki kijibaridi cha usiku siku hizi.
haswaaa umesema kitu,,,hebu jaribu kukianzisha ili tuweze kurudi taratibu

nimemisi watu wangu wengi tu
 
Back
Top Bottom