2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,226
- 4,919
Hiyo avatar ni wewe au wallpaper tu ya kupakuwaJamani mpo salama huko maana walinzi wa Leo wanaweza sombwa na huyu jobo
Hiyo avatar ni wewe au wallpaper tu ya kupakuwaJamani mpo salama huko maana walinzi wa Leo wanaweza sombwa na huyu jobo
Mkoa gani??
Niliumbwa kua mwenyewe that's my fate, my fate has been sealed mate.
Enjoy mnaoweza ku-Couple
We ni muoga hiviNi kweli unakiskia mkuu? Uko wapi?
Duh hebu toka nje tupigie picha tuone matukio live, tunakuaminia reporter wetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mpaka nimekuonea huruma,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khe! Hunitakii mema wewe nafanya kuchungulia dirishani maana hadi umeme wamekata
Ni kweli Kwani nyie mpo Tanzania hii kweliNi kweli unakiskia mkuu? Uko wapi?
Sema mzee upoKitambo sana humu ndani. Wenyeji wote siwaoni.
We unaonajeHiyo avatar ni wewe au wallpaper tu ya kupakuwa
Reporter rusha matangazo live tunakuaminiaNi kweli Kwani nyie mpo Tanzania hii kweli
Nipo chief,nawinda.Sema mzee upo
Sijajua Kwani kimbunga chenyewe kinasemaje. [emoji23][emoji23]Hivi kwanini kinaitwa JOBO majina wataalamu wetu wanatoa wapi
Sioni vizuri nitumie PMWe unaonaje
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kinasema jojo ni jobo, ndiyo maana anatudanganya hapaSijajua Kwani kimbunga chenyewe kinasemaje. [emoji23][emoji23]
Atakua yupo mafia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mpaka nimekuonea huruma,
Reporter rusha matangazo live tunakuaminia