financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Kiukweli mi hata sielewi zaidi ya kuskia stories tu mitandaoni na nipo Tz🤔Ni kweli Kwani nyie mpo Tanzania hii kweli
Kiukweli mi hata sielewi zaidi ya kuskia stories tu mitandaoni na nipo Tz🤔Ni kweli Kwani nyie mpo Tanzania hii kweli
Ok yawezekana huku bara kwetu sijaona mimiAtakua yupo mafia
Mh!!!🙄🤔Huko siendagi,
We ni muoga hivi
tahadhari ni muhimu mkuu,ni muoga kweli ila si sana😀
Okey sawa mate, tupige story zingineToo personal, I would like to put hands on my self
Kiukweli mi hata sielewi zaidi ya kuskia stories tu mitandaoni na nipo Tz![]()
Aisee nnavoogopa sasa! Poleni Mungu atuvushe salama na haya majoboBasi utakuwa Upo kigoma mwisho wa reli.
Sasa hivi imepiga radi moja kali mpaka nimeruka kama nimepigwa shoti
Kwahiyo watabiri wetu wa halibya hewa wako vizuri au walirely information za CNNSubiri taarifa ya habari kesho ila uangalie ITV sio wale wengine

Jojo hebu tulia kwanzaBasi utakuwa Upo kigoma mwisho wa reli.
Sasa hivi imepiga radi moja kali mpaka nimeruka kama nimepigwa shoti














Amen, nishasali mkuu, we kama huogopi hivii🤔![]()
![]()
![]()
Kemea we si mlokole kama mimi
Tumia kipaji chako kujipatia fedha, wewe ni kiboko kwenye kutabiriReporter uchwara hiyo kazi ilishanishinda sema Leo nimeshindwa kumvumilia hii hali
Naogopa ila kwa kweli Yesu wangu ni mkuuAmen, nishasali mkuu, we kama huogopi hivii![]()
Kwahiyo watabiri wetu wa halibya hewa wako vizuri au walirely information za CNN![]()
Amen atatuvusha salamaNaogopa ila kwa kweli Yesu wangu ni mkuu
Jojo hebu tulia kwanza![]()
Haya ulale salama kesho hiyo, uamke salamaNgoja nilale sasa at least radi zimepungua