Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,873
- 51,660
Kwani wanandoa wanasemajeOa Mkuu uachane na lindo lisilo na mshahara.
NB. JK

ndoa ni tamu au chunguKwani wanandoa wanasemajeOa Mkuu uachane na lindo lisilo na mshahara.
NB. JK

ndoa ni tamu au chungushukran sana...napenda sana pande hizoKaribu Nanja..
Unatakiwa unipe shikamoo sasa hiviAisee...
Mimi sikuoita kabisa hatua hiyo ya kuandika kwenye daftari
Oa Mkuu uachane na lindo lisilo na mshahara.
NB. JK
We mchina au mkorea?shukran sana...napenda sana pande hizo
Kwani maandiko yanasemaje juu ya wanandoaNi mchanganyiko mkuu since wote mmeoana wanadamu. Lazima mpeane uchungu na utamu
sasa tuko mstari mmoja vyema sana mateI fo understand this mate.
mtanzaniaWe mchina au mkorea?
Kipo wapi angalia kisije kukubebaHichi kimbunga jobo6ni balaa
usijali.. karibu sanaPamoja sana...Utakua mwenyeji nikiwa nakuja kutembea city center
Watoto wa 90s mnadharau
Mimi kizee sana,darasa la saba umemaliza mwaka ganiPande za lake zone.Kipo wapi angalia kisije kukubeba
Injili najua unaijua, kwa kifupi ndoa ni taasisi pana sana, mtu kama bado hujajiandaa nakusihi acha kwanza, endelea kula maisha, ndoa inataka watu wenye hekima zaoTusifike huko mate...
Duh hebu toka nje tupigie picha tuone matukio live, tunakuaminia reporter wetuPande za lake zone.
Sipati picha waliopo pwani hali ipoje maana Kimeanza mida ya saa sita hivi naona kwa sasa kimeshika kasi
Ni kweli unakiskia mkuu? Uko wapi?Hichi kimbunga jobo ni balaa
Hivi kwanini kinaitwa JOBO majina wataalamu wetu wanatoa wapiJamani mpo salama huko maana walinzi wa Leo wanaweza sombwa na huyu jobo
Atakua yupo mafiaNi kweli unakiskia mkuu? Uko wapi?