Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,876
- 51,678
Petroli ni haramu arifuuu kwenye mambo ya checheeeeKama kutatoka cheche
Hakikisha Lile dumu la petrol umempa dogo alifiche ...
Petroli ni haramu arifuuu kwenye mambo ya checheeeeKama kutatoka cheche
Hakikisha Lile dumu la petrol umempa dogo alifiche ...
Petroli ni haramu arifuuu kwenye mambo ya checheeee
Embu kwanza, sasa huo msuguano wa hasi na chanya si utazidisha hizi radi za leo?Leo tunatoboa sio maana ni kitu cha hasi na chanya ni mwendo wa checheeee msuguo mpaka cheche zitoke
Itakua pepo hilo limepitaWakuu mlipo hali ikoje
Kwetu umepita upepo mkali Sana nimeamka baada kusikia vitu vikianguka na kupelekwa na upepo baada ya kuchungulia nje nimeogopa kuona mti uliopo nje ya nyuma ukiyumbishwa Sana kiasi ya kunitia hofu ikabidi nikae attention hata Kama ukiangukia nyumba niweze kujiwahi umeme ukakatika na mvua ikaanza kidogo kidogo uzuri upepo mkali haukudumu inaoendelea mvua mpaka wakati huu hilo balaa limeanza saa sita na robo hivi
Wadau nyie mko wapi na hali ikoje huko?


Sio radi tu na mafuriko ya kutosha overflow utakaukiwa maji mwilini maana sio mchezo kale kater....Embu kwanza, sasa huo msuguano wa hasi na chanya si utazidisha hizi radi za leo?
Mambo ya Cheee cheee ×2
Na petrol
Shemeji atakuona gaidi hivi hivi
Apo we kamatia chini 2
Mkuu bangi weweEh mbona unanitisha mkuu niko hapa na hata umeme hamna Ni mvua tu na vimulimuli nje hukoItakua pepo hilo limepita![]()
Huku niliko hali ni shwari kabisa ni mvua na vijiradi vya hapa na pale basi ni burudani tuWakuu mlipo hali ikoje
Kwetu umepita upepo mkali Sana na vimulimuli vya radi nimeamka baada kusikia vitu vikianguka na kupelekwa na upepo baada ya kuchungulia nje nimeogopa kuona mti uliopo nje ya nyuma ukiyumbishwa Sana kiasi ya kunitia hofu ikabidi nikae attention hata Kama ukiangukia nyumba niweze kujiwahi umeme ukakatika na mvua ikaanza kidogo kidogo uzuri upepo mkali haukudumu inaoendelea mvua mpaka wakati huu hilo balaa limeanza saa sita na robo hivi
Wadau nyie mko wapi na hali ikoje huko?
Pole sana mkuu, wezi wakija utawasikia maana upo macho, upo mkoa gani mkuuEh mbona unanitisha mkuu niko hapa na hata umeme hamna Ni mvua tu na vimulimuli nje huko
Yaani![]()
![]()
Mkuu bangi wewe
Kumbe huo mchezo unaujua? Kwani wewe ni nshom... mwenzangu?Sio radi tu na mafuriko ya kutosha overflow utakaukiwa maji mwilini maana sio mchezo kale kater....
Yaani
Bangi tupu hakuna kushabu
Na usimkunje shemej sana kesho akashindwa kwenda ibadani ...


Nimependa ushauri wakoWakuu mlipo hali ikoje
Kwetu umepita upepo mkali Sana na vimulimuli vya radi nimeamka baada kusikia vitu vikianguka na kupelekwa na upepo baada ya kuchungulia nje nimeogopa kuona mti uliopo nje ya nyuma ukiyumbishwa Sana kiasi ya kunitia hofu ikabidi nikae attention hata Kama ukiangukia nyumba niweze kujiwahi umeme ukakatika na mvua ikaanza kidogo kidogo uzuri upepo mkali haukudumu inaoendelea mvua mpaka wakati huu hilo balaa limeanza saa sita na robo hivi
Wadau nyie mko wapi na hali ikoje huko?
Itakua pepo hilo limepita![]()
Eh mbona unanitisha mkuu niko hapa na hata umeme hamna Ni mvua tu na vimulimuli nje huko
Mtanisamehe bure ila mmenichekesha sana, sijui kama mpo serious au laPole sana mkuu, wezi wakija utawasikia maana upo macho, upo mkoa gani mkuu
Nimependa ushauri wako
Alaa kumbe shemeji mwenyewe unayemzungumzia ni mimi?Usije sinzia kesho kwa ibada kisa Hard Rough game
![]()

Bangi bhan!!Alaa kumbe shemeji mwenyewe unayemzungumzia ni mimi?![]()
Mzeee hii mvua atari.
Kibaridi flan amaizing dsm

.Baby shem ndo uoe ili uwe unafaidi mvua za usiku kama wenzio!