Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
0501
Hapa uzi unakuwa hot kuanzi 00:00 A.M hadi 06:00A.M tu.
Muda mwingine unakuwa closed
hiyo ni suna mkuu..naona unaulizia jibu hahahahahahhahaUnafanya nini mida hii, au unakula utamu ndiyo ulale![]()
nafurahi kusikia hivyo.Salam imefka
Upo vizuri sanahiyo ni suna mkuu..naona unaulizia jibu hahahahahahhaha
Na baridi la Arusha nitaachaje kuwa vizuri mkuuUpo vizuri sana
Na baridi la Arusha nitaachaje kuwa vizuri mkuu
Halafu nipo mkoa mmoja, mbona baridi ya kawaida au unajiendekeza 
unajibebisha tu