Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Tutaanza ku-ambush

Kuna watu...wanapita kujiandikisha...na sio kulinda...![]()

Kuna watu...wanapita kujiandikisha...na sio kulinda...![]()
kumekucha mkuu0002
13.11.2020
Popo & Bundi Lindoni.
Mkuu upo unafanya ukaguziNa ulinzi hauko imara
Km kawaida tu ,Dodoma kucheleMkuu upo unafanya ukaguzi
Duh! Mambo ya kuku wa kienyeji choma. Nimekumbuka sana pande hizoKm kawaida tu ,Dodoma kuchele
Sawa sawaDuh! Mambo ya kuku wa kienyeji choma. Nimekumbuka sana pande hizo
Tupo mkuuKwahiyo muda huu mmelala ,halafu mkiamka mjifanye mko lindo ? Kudadeki acheni usanii
HahahahaTupo mkuu
Tupo mkuu tunapambana na usingiziKwahiyo muda huu mmelala ,halafu mkiamka mjifanye mko lindo ? Kudadeki acheni usanii
Sawa sawa vzr ,ngoja muda ufike nimteke MTU nikalale na mmTupo mkuu tunapambana na usingizi
Sawa sawa vzr ,ngoja muda ufike nimteke MTU nikalale na mm


Huko Dom wanatekeka? maana kuna kuwa na kipupwe cha hatari. Ila akikubali kutekwa mateka lazima awe mpoleHahahaha, wanatekeka vzr tu,kwa mkongwe km Mimi huwa sikoseiHuko Dom wanatekeka? maana kuna kuwa na kipupwe cha hatari. Ila akikubali kutekwa mateka lazima awe mpole
Duh! Unawawinda kama upo mbugani. HahahaaaHahahaha, wanatekeka vzr tu,kwa mkongwe km Mimi huwa sikosei
Tena na goboreDuh! Unawawinda kama upo mbugani. Hahahaaa
Hahahaaaa. Unavizia waliokesha clubs au target ipoje?Tena na gobore