AlamsikiLeta khabari.
Bangi za Bibi.Breaking:Rais wa Marekani Donald Trump ametengua uteuzi wa Waziri wa Ulinzi wa Nchi hiyo Mark Esper na kuteua mwingine.#Kaz imeanza
00300000
Mko lindo au hivi vimanyunyu mshakimbilia kwenye kuijaza dunia...
Neno la Mungu lazima lizingatiweMko lindo au hivi vimanyunyu mshakimbilia kwenye kuijaza dunia...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Leo,mm na wew lig hapa jf atakaeanza kulala anamtumia mwenzie 5000😞😞Hakuna mkeshaji humu, nyote ni walalavi.
Miss u more sonMiss you 😘
Huo wa Christmas au wa b’coz you loved me!upiNaupenda sana huu wimbo
Abee kumbe niliitwa huku