Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Yupo mbona nitamleta siku zijazo kunajimbo anagombea ngoja campaing ziishe namleta.Mtoto mzuri mrembo Goddess umempeleka wapi
Yupo mbona nitamleta siku zijazo kunajimbo anagombea ngoja campaing ziishe namleta.Mtoto mzuri mrembo Goddess umempeleka wapi
Ngoja hilo swala tulifikishe meza kuu tuwarudishe hao walinzi.Nipo mkuu napita pita kuna waliopotea labisaa
Tufanya namna warudi wametutenga sana
Umwambie nimemmiss sanaYupo mbona nitamleta siku zijazo kunajimbo anagombea ngoja campaing ziishe namleta.
Napafahamu mzee baba...hahahaa sawasawa mkuu mimi nkaa kwa mpangala kma unapafaham,
😊 😊 Hawezi kunikosea adabu kwa hivyo maana atakuwa anataka matatizo
Ujumbe umefika mzee wangu.Umwambie nimemmiss sana
hahhaaaa mpaka hapo sihitaji clarification zaidiNapafahamu mzee baba...
😆😆😆😆😆😆 Kwampalange ni dunia nyingine kabisa.hahahaa sawasawa mkuu mimi nkaa kwa mpangala kma unapafaham,
hahahaaa kwa nn brazaKwampalange ni dunia nyingine kabisa.
😂😂😂😂 huyu jamaa makuzi mengi sana tatizo
yaishe mzee usije kuanzisha league😊 mm snitch! sawa mkubwa.
Mnakatiba yenu na sheria zenu kabisa ni nchi ndogo kama monaco na nyinginezo 😆 😆 😆hahahaaa kwa nn braza
Tulia nikutafutie dawa ya nywele sawa 😊😊yaishe mzee usije kuanzisha league
Asante sanaMtu akishukuru kwa jambo flan najisikia raha sana, ni vema kushukuru .... Kajojo i love u .....
Niko makini sijachangamka bado hata muandiko uko fiti umesimama dede kama naandikia daftari ya mistari mikubwa na midogo vile...Kajojo krbu sana
Pole sana Kajojo.... Tuombe... Kama pepo ushindwe kama ni wenge sepa... binti alale unono aote njozi nzr nzr.... Sema amina! Samahani waiter nilikuwa namfanyia maombi rafiki angu bia yangu niletee niendelee...Sina makuu na mtu!





nimekutukana bonge la tusi 😂😂😂😂Tulia nikutafutie dawa ya nywele sawa 😊😊
Vizuri sanaUjumbe umefika mzee wangu.
Leo umejitahidi kuweka kambi lindoni hongera sanaUjumbe umefika mzee wangu.