Wezi wao wanatumia bunduki Sasa jambazi si watatumia vifaru???Namuogopa Mwizi sababu anaweza kuja kwako akakuibia bado akaamua tu kukukata hata sikio au kidole, anaweza akabaka familia, anaweza akafanya uharibifu wowote,
Lakini hapa tunazungumzia wezi wa Tz ambao wengi wanatumia silaha za jadi, ukienda nchi zingine wezi hao hao wanatumia bunduki na kukumaliza ni dakika sifuri tu, yaan wana roho flani ya kikatili ambayo hailezekeki,
Kibaka unaweza kupambana nae kama hajakulia timing, nakumbuka miaka hiyooo mwananyamala kulikua na roba za mbao, unapigwa roba unahisi kabisa anaondoka na roho yako maana kwenye mbao walikua wanaweka misumari.
Na kwako pia mkubwa.Basi niwatakie usiku mwema nyote.
Nikajuwa Usha Die ww Jamaathis is Super Villain from Alpha Team.
I´m at point City mall. Need info on my extraction over Iceberg9
Kwann?Nikajuwa Usha Die ww Jamaa
Sijakusikia muda Au saivi umestaafu PapuchiGangKwann?
Nipo, nimekuwa nalala mapema sana 😊Sijakusikia muda Au saivi umestaafu PapuchiGang
Jitahidi UkueNipo, nimekuwa nalala mapema sana![]()
Vp maisha ya wcb huko 😂😂😂Sijakusikia muda Au saivi umestaafu PapuchiGang
Tunakula Mema Ya Nchi Tunabarizi Zenji barVp maisha ya wcb huko![]()
Nimeshakuwa vya kutosha kwa umri wangu nawezaitwa Dingi mambo yameshakuwa plenty.Jitahidi Ukue