Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,883
- 51,690
ComradeHao ndio waliokusaidia. Mungu ana njia zisizochunguzika wala kutegemea na kukuoa kutoka katika jambo hatari. Usikute ulivyojihami kwa kusimama, wangeingia wangekudhuru but God himself intervened by his own way to save you.
Wezi wa design hiyo wajinga sana, hudhuru kwa kujihami hata kama hujafanya chochote


, hao wezi au vibaka, hivi tofauti kati ya wezi, vibaka na majambazi ni ipi