JamiiForums Usiku wa manane
kuna uzi nilikua nausoma hapa aisee umenifanya nimekosa usingizi kabisa wanajeshi bana wana mioyo migumu sana.
Video ya mauaji ya mwanamke wa Mozambique imenichefua. MUNGU ibariki Tanzania
Mkuu mbaya zaidi serikali ya Msumbiji imejitetea kijinga sana. Biinafsi nilijua wale askari watawajibishwa kwa lile tukio. Waafrika sisi ni binadamu wabaya sana, ndiomana wazungu na waarabu walituchukua kama watumwa, usikute walikuta babu zetu wanaishi kama wanyama tu (Uncivilised) though historia inatuambia huko nyuma kimaendeleo tulikuwa sawa ila Ulaya wakaanza kutuzidi kuanzia karne ya 15.
 
Mkuu mbaya zaidi serikali ya Msumbiji imejitetea kijinga sana. Biinafsi nilijua wale askari watawajibishwa kwa lile tukio. Waafrika sisi ni binadamu wabaya sana, ndiomana wazungu na waarabu walituchukua kama watumwa, usikute walikuta babu zetu wanaishi kama wanyama tu (Uncivilised) though historia inatuambia huko nyuma kimaendeleo tulikuwa sawa ila Ulaya wakaanza kutuzidi kuanzia karne ya 15.
yani nimeeicheki nikawaza sana mtu unawezaje kumfanyia binadamu mwenzako vile, si bora wamchukue akafanye kazi magerezani mpaka mungu amchukue mwenyewe.
alafu wanasema alikua mjamzito.
 
Mkuu mbaya zaidi serikali ya Msumbiji imejitetea kijinga sana. Biinafsi nilijua wale askari watawajibishwa kwa lile tukio. Waafrika sisi ni binadamu wabaya sana, ndiomana wazungu na waarabu walituchukua kama watumwa, usikute walikuta babu zetu wanaishi kama wanyama tu (Uncivilised) though historia inatuambia huko nyuma kimaendeleo tulikuwa sawa ila Ulaya wakaanza kutuzidi kuanzia karne ya 15.
Serikali za Kiafrika zipo kibabe sana hawaangalii maslahi ya raia
 
Back
Top Bottom