Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Naelewa hauna haja ya kuuliza mtu .Hapa si CIA kitendo cha kijasusi ukichora tu umeshatupa code.
Naelewa hauna haja ya kuuliza mtu .Hapa si CIA kitendo cha kijasusi ukichora tu umeshatupa code.
ushaniangusha, hakuna jipya hapo 😩😩Noma kweli baadaye na kesi ya kujibu![]()
Bila hii mchanganyiko hakunaga usingizi zaidi ya kupeana kesi na mbu, kunguni na mendeBalimi mzee wangu ukimix na nyagi alcohol siimeshafika 100% mbubwa?![]()
Asubuhi ishafika hapa sitaki kulala tena maana nitapititiliza .Unatafuta nini huku .. acha kuzurura na ulale l haraka
Unanifuatilia sana we mtthahaa unajikuta CIAna lile ID lako la kichina pande flani






kule ndio napenda kufanya upuuzi.niliidaka miez sema sikuwa na kazi nayo nkaignore 😁😁 na sijimwambafaiUnanifuatilia sana we mttkule ndio napenda kufanya upuuzi.
Tulia hizi mambo zina wenyewe na wenye ndio sisiushaniangusha, hakuna jipya hapo![]()


si jpili hii.. pumzika tuAsubuhi ishafika hapa sitaki kulala tena maana nitapititiliza .
hapa hamna kazi kabsaaa ..maneno mob af vitendo hakunaTulia hizi mambo zina wenyewe na wenye ndio sisi![]()
Kuna mtt nilimpa ile kazi amesoma kichina ndio nikamwambia anichoree lile jina langu kwa kichina ndio vile sasaniliidaka miez sema sikuwa na kazi nayo nkaignorena sijimwambafai


acha kunifuata fuata sasa.Data zinakuja zenyewe ila naziignore.. nkikufuatilia utaniona kesho huko ukerewe stand 😁😁Kuna mtt nilimpa ile kazi amesoma kichina ndio nikamwambia anichoree lile jina langu kwa kichina ndio vile sasaacha kunifuata fuata sasa.
Nipo ugenini basi nalala kwa shida maana sijapazoea .si jpili hii.. pumzika tu
Ubaya nikikuambia nikama unaleta nuski we mtt ndio maana mdomo nimetiahapa hamna kazi kabsaaa ..maneno mob af vitendo hakuna
nikimaliza nitakusimulia kwahiyo kaa kwa kutulia.Mchana utalala ww huchomoki.Asubuhi ishafika hapa sitaki kulala tena maana nitapititiliza .
Kule huwa siachi kupita kuna wapuuzi wangu lazima niwaonege vichwa maji.Data zinakuja zenyewe ila naziignore.. nkikufuatilia utaniona kesho huko ukerewe stand![]()
Nimeshasahau mambo ya kulala mchana mie labda leo ndo nilale hiyo mchana .Mchana utalala ww huchomoki.
Huna shida saiz ww?Nimeshasahau mambo ya kulala mchana mie labda leo ndo nilale hiyo mchana .