JamiiForums Usiku wa manane
Yes shule za wenzetu zipo juu, Umenikumbusha movie ya NIGHT SCHOOL ya Kelvin hart, Kevin baada ya kuona maisha mtaani ni magumu na kapata demu mkali hawezi kumhudumia na mtaani kugumu hana mchongo hana hela, na kupata kazi nzuri nzuri hawezi kupata hana kigezo cha elimu, basi anafanya kurudi tena shule anachukua masomo ya jioni
Kelvin ni kichaa achana naye.
 
Mbona umeshtuka mida hii
Acha tu nilikuwa nimelala kuna simu nyingine imenipigia Alarm nimekata usingizi na imenistua kweli siku sett mm alafu nilijua ndio nishatekwa hivyo mtu kaingia ndani nikiwa najiuliza kitanda hapa kaingiaje huyo mtu humu nikagundua ni simu nimeacha upande wapili huko.
 
Acha tu nilikuwa nimelala kuna simu nyingine imenipigia Alarm nimekata usingizi na imenistua kweli siku sett mm alafu nilijua ndio nishatekwa hivyo mtu kaingia ndani nikiwa najiuliza kitanda hapa kaingiaje huyo mtu humu nikagundua ni simu nimeacha upande wapili huko.
Pole aisee mimi nilishtuka nikawa najibu sms ndo mpaka sasa nipo macho usingizi huo umepotea .
 
Back
Top Bottom