Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Chocho ukiwa unakaba!ulitaka unione wapi
Chocho ukiwa unakaba!ulitaka unione wapi
Kha unaniita Mkuu hujanijua kwa id hiisalama mkuu. karibu tuendelee kushangaa humu
nilimiss lindo nikaona nikae hadi lifungwe kwa mara ya kwanza 😊Chocho ukiwa unakaba!
Acha utaniPole aisee mimi nilishtuka nikawa najibu sms ndo mpaka sasa nipo macho usingizi huo umepotea .
ila ww sindio muda wako huu utafidia hata mchana.Nipo na Balimi ya baridi mixer konyagi, Imani yangu ni kwamba asubuhi Bado dakika chache Sana ifikeUpo na silaa gani hapo mkubwa unipatie.
kitambo sijaingia humu. kama hutojali kunikumbushaKha unaniita Mkuu hujanijua kwa id hii
Leo nilikuwa na mambo mengi nikawahi kulala nilikashtuka saa tisa hivi .Ujalala mpaka saiz unasubiria nn na ww?
Kha unaniita Mkuu hujanijua kwa id hii
Mtt mdogo huyo hata muandiko ajui!Rorykitambo sijaingia humu. kama hutojali kunikumbusha
Vp hakuna mtu wa kumtoa damu huko?nilimiss lindo nikaona nikae hadi lifungwe kwa mara ya kwanza![]()
Hahaha upo vizuri kujua miandiko ya watu aisee wengine hatuna kipaji hicho![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mtt mdogo huyo hata muandiko ajui!
Balimi mzee wangu ukimix na nyagi alcohol siimeshafika 100% mbubwa?Nipo na Balimi ya baridi mixer konyagi, Imani yangu ni kwamba asubuhi Bado dakika chache Sana ifike


huku naona peupe tu hamna hata dalili. vipi hukoVp hakuna mtu wa kumtoa damu huko?
sawa mshindi wewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mtt mdogo huyo hata muandiko ajui!
Hapa si CIA kitendo cha kijasusi ukichora tu umeshatupa code.Hahaha upo vizuri kujua miandiko ya watu aisee wengine hatuna kipaji hicho
Rory
Noma kweli baadaye na kesi ya kujibuhuku naona peupe tu hamna hata dalili. vipi huko


hahaa unajikuta CIA 😂😂 na lile ID lako la kichina pande flaniHapa si CIA kitendo cha kijasusi ukichora tu umeshatupa code.