JamiiForums Usiku wa manane
Ila bhana kuna watoto wameshindikana aah ukisema usiweke mboko ni tatizo kabisa watoto wa saiz wanaenda shule na daftari moja
Nchi za wenzetu, watoto wa hivyo mbona wapo kibao na wanavuta hadi bangi class, lakini sheria zinawalinda sana watoto... Hivi mwanao apigwe na akafariki mikononi mwa mwalimu utalipokeaje...
 
Nchi za wenzetu, watoto wa hivyo mbona wapo kibao na wanavuta hadi bangu class, lakini sheria zinawalinda sana watoto... Hivi mwanao apigwe na akafariki mikononi mwa mwalimu utalipokeaje...
Aah hiko kipengele wallah mm nitafia jela huyo mwalimu nitamuua na mm, lakini u ajua sisi watu weusi bhana hatujui kabisa kujitawala hatakama zitawekwa sheria bado tutacross ile line ambayo hutatakiwa kuvuka mipaka.
 
Aah hiko kipengele wallah mm nitafia jela huyo mwalimu nitamuua na mm, lakini u ajua sisi watu weusi bhana hatujui kabisa kujitawala hatakama zitawekwa sheria bado tutacross ile line ambayo hutatakiwa kuvuka mipaka.

No kuna shule za English medium hapa Tz zinafanya vizuri sana katika kuwa shape watoto na zina taratibu zao watoto wanatakiwa wafuate na zinafuatwa punde ukiwa shuleni, na hawatumii fimbo ni kufukuza shule tu, mbona watoto wana adabu
 
Screenshot_20200823_000721.jpg
 
No kuna shule za English medium hapa Tz zinafanya vizuri sana katika kuwa shape watoto na zina taratibu zao watoto wanatakiwa wafuate na zinafuatwa punde ukiwa shuleni, na hawatumii fimbo ni kufukuza shule tu, mbona watoto wana adabu
Hizo nazijua vzr na huwa nawaonea sana gere na kuwaambia sisi hatukusoma kama wao unakuta darasa teyari lina rocker unaingia kila kitu unakikuta humo.
 
Hizo nazijua vzr na huwa nawaonea sana gere na kuwaambia sisi hatukusoma kama wao unakuta darasa teyari lina rocker unaingia kila kitu unakikuta humo.
Yes shule za wenzetu zipo juu, Umenikumbusha movie ya NIGHT SCHOOL ya Kelvin hart, Kevin baada ya kuona maisha mtaani ni magumu na kapata demu mkali hawezi kumhudumia na mtaani kugumu hana mchongo hana hela, na kupata kazi nzuri nzuri hawezi kupata hana kigezo cha elimu, basi anafanya kurudi tena shule anachukua masomo ya jioni
 
Back
Top Bottom