Hizi chai hizi.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Mzee wa kigamboni naona unalinda pwani hukoOngezeko la watu ndani ya miaka miwili ijayo litakuwa juu.
Si kwa baridi hii ukanda wa pwani...
Wapo ila kimya kimyaSioni walinzi
Sioni walinzi
Safi sanaTupo mkuu
Vzr sana ,hapo tupo sawaWapo ila kimya kimya
Mdogo mdogo, kimya kimya ila usilale adui si mamaakoVzr sana ,hapo tupo sawa
Ni kweli kabisa. MkuuMdogo mdogo, kimya kimya ila usilale adui si mamaako
Leo hali ya hewa lindoni ni tulivu, kama tutamaliza lindo salama huku kukiwa na hali hii hii basi asububi yetu itakuwa njema sana. Lindo lako pande gani leo?Ni kweli kabisa. Mkuu
Karibu0434
Dah Niko mbali sana,naitafuta borderLeo hali ya hewa lindoni ni tulivu, kama tutamaliza lindo salama huku kukiwa na hali hii hii basi asububi yetu itakuwa njema sana. Lindo lako pande gani leo?