Ndio nyinyi mlikuwa na mitihani wiki iliyopita?Hapa Veta tushamaliza kujifunza cherehani
Majukumu yale ya wakubwa eeeh??Unakimbia kwenda wapi? Walinzi wapo we endelea kupiga nao stories, wengine tunamajukumu mengine pia muda huu![]()

Sisi mtihani wetu ni kushona nguo tu..Ndio nyinyi mlikuwa na mitihani wiki iliyopita?

Prayers ,Bible reading



Umeenda mbali sana mdogo wangu Anne. Nipo busy na kuandaa dessertation hapa.Majukumu yale ya wakubwa eeeh??
Nikikuwa mkubwa nataka niwe kama wewe
Wakubwa mna Raha hii dunia
Haya hongera, ila sitegemei mtu kama wewe kuwa na hila ndani yako🤔Sisi mtihani wetu ni kushona nguo tu..
Ukishamaliza umeshamaliza![]()
OohoooUmeenda mbali sana mdogo wangu Anne. Nipo busy na kuandaa dessertation hapa.
Ningekuwa na majukumu hayo kipindi hiki, nisingeonekana hapa![]()



dirty mind 

Nikirudi ,naenda isoka - kapiri mposhi Mara mojaHuko siwezi shuka.
Panda town huku
Haya hongera, ila sitegemei mtu kama wewe kuwa na hila ndani yako![]()



Ukikuwa yupo(wapo) watakaokukaribisha kwenye hayo majukumu endelea kusubiri Anne.Majukumu yale ya wakubwa eeeh??
Nikikuwa mkubwa nataka niwe kama wewe
Wakubwa mna Raha hii dunia
hahahaha, yuko wapi nyie watu wa Mbeya mnajuana mlipoSi umwambie ukweli haupo huko?![]()
Pitia kwanza hapa kwangu kabla hujaondokaNikirudi ,naenda isoka - kapiri mposhi Mara moja
Hahahaha
Nani kakuambia???
Mie nipo hapa mlowo
Nipo hukuhuku hapa Mlowohahahaha, yuko wapi nyie watu wa Mbeya mnajuana mlipo
HahahahaKwahiyo mmeamua kunitelekezea lindo lenu?
Na Mimi naliacha![]()
Haya kama chuo mshafunga![]()
.....Hapa Veta tushamaliza kujifunza cherehani
We utakua unanipinga kambaNipo hukuhuku hapa Mlowo
Kuwa na hila ni kuwa na moyo unaofanya vitu viwili ambavyo vinapingana kwa wakati mmoja. Ni kama vile kumjibu mtu kwenye simu "nakula muda huu" kumbe unakata mitaa ya mafyati kuelekea Sangu sec kwa mguu.
Hila gani jamani!?