Wataalamu wa afya wanashauri tupate muda wa kutosha kupumzika..angalau masaa8
Nilichelewa kulala asubuhi kabla ya saa1 natakiwa niwe nimeamka,,najikuta naumwa kichwa
Hii kweli kwani ?Wajumbe mnasemaje juu ya hiliView attachment 1531659
Kwenye ndoto kuna mengi...lala tu umalizie ndoto yako tusikuingilie wakati haijatimiaWajumbe mnasemaje juu ya hiliView attachment 1531659
Ebanee nilikuwepo hapo mpaka saa saba, koment yako ndio naiona sasa, baada ya hapo nikaelekea Mbeya pazuri. Tuchekiane Leo naweza nikaenda city pub au NasomaWakubwa mlioko pande za Mwailubi-green city💪
It's a fake newsWajumbe mnasemaje juu ya hiliView attachment 1531659
Pamoja mkuu mimi bado niko mitaa hii ya Mwailubi.Ebanee nilikuwepo hapo mpaka saa saba, koment yako ndio naiona sasa, baada ya hapo nikaelekea Mbeya pazuri. Tuchekiane Leo naweza nikaenda city pub au Nasoma
Mbeya mnajitahidi kwa viwanja