PoleeeeeeehDuh! Sijih nimechelew wapi!!!!!
Ulale sasaPoleeeeeeeh
Akuuuuuuuuh nakesha lindoni mieehUlale sasa
Haya mkuu imarisha lindoAkuuuuuuuuh nakesha lindoni mieeh
PoaaaaaaahHaya mkuu imarisha lindo
TupoooWalinzi mpo?
Mjini au hapa kijijini...!?Tuliopo hapa msibani tujuane.
That's sound goodTs not big deal kununuliwa pads
Truth be told kama unanunuliwa na mpenzi /mume mi naona fresh tu hakuna tatizo![]()

Vp saiz zoezi ni endelevu au ilikuwa siku hiyo kama emergency?Blood nilichelewa kuiona hii. nishawahi kumnunulia mtu pedi ila alikuwa ndugu tu japo pia ni kitambo mnooo almost 10 years back. Sidhani kama ni issue kubwa kwangu mimi
Unanunua mpaka saiz lakini au ndio toka emergency ujanunua tena?Umenikumbusha miaka ya nyuma, ex wangu mmoja kaingia ndani tu akagundua kaanza kuvuja. Asingeweza kuendesha gari akiwa vile. Basi mie nikaamua nijilipue, nikaenda duka la karibu nikanunua brand na specification alizokuwa anataka, muuza duka akaanza kuifunga funga nikamwambia mfuko mmoja unatosha.
Kuanzia wakati huo uwa nnazo za akiba nyumbani incase of emergency.