JamiiForums Usiku wa manane
No sijafikilia hii njia kama kuonga nimefiki nikama unampa mtu gift au unamtoa out kula something stuff like that. Alafu kuonga ni kitu kingine kabisa.
Sospita alimdanganya hivyo hivyo Gresi, urafiki wa kalamu....njoo tu hatutafanya kitu.....kidogo tu sitaingiza yote....mara paaap Gresi haoni siku zake...hangaika kuzitafuta weeeee...miezi tisa hii hapa na sasa sikujua yuko baby class na barakoa juu japo wizara imesema COVID imeona huku haipewi air time ikapeleka show nchi jirani.
 
Sospita alimdanganya hivyo hivyo Gresi, urafiki wa kalamu....njoo tu hatutafanya kitu.....kidogo tu sitaingiza yote....mara paaap Gresi haoni siku zake...hangaika kuzitafuta weeeee...miezi tisa hii hapa na sasa sikujua yuko baby class na barakoa juu japo wizara imesema COVID imeona huku haipewi air time ikapeleka show nchi jirani.
Sio kila mtu ni dhaifu kama unavyodhani frnd ya Boys na Girs ipo na mm nimeiishi kwahiyo huwezi niambia chochote kwa sababu nimeviishi.
 
Back
Top Bottom