JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

No sijafikilia hii njia kama kuonga nimefiki nikama unampa mtu gift [emoji320] au unamtoa out kula something stuff like that. Alafu kuonga ni kitu kingine kabisa.
Sospita alimdanganya hivyo hivyo Gresi, urafiki wa kalamu....njoo tu hatutafanya kitu.....kidogo tu sitaingiza yote....mara paaap Gresi haoni siku zake...hangaika kuzitafuta weeeee...miezi tisa hii hapa na sasa sikujua yuko baby class na barakoa juu japo wizara imesema COVID imeona huku haipewi air time ikapeleka show nchi jirani.
 
Sospita alimdanganya hivyo hivyo Gresi, urafiki wa kalamu....njoo tu hatutafanya kitu.....kidogo tu sitaingiza yote....mara paaap Gresi haoni siku zake...hangaika kuzitafuta weeeee...miezi tisa hii hapa na sasa sikujua yuko baby class na barakoa juu japo wizara imesema COVID imeona huku haipewi air time ikapeleka show nchi jirani.
Sio kila mtu ni dhaifu kama unavyodhani frnd ya Boys na Girs ipo na mm nimeiishi kwahiyo huwezi niambia chochote kwa sababu nimeviishi.
 
Hawampendi [emoji1780], huu ndio ukweliiiiiiiih
Ukweli umeupata wapi ww kwa wajumbe 68? [emoji15] Embu kuwa serious [emoji23][emoji23][emoji23] chochote kinaweza tokea hizi kura za maoni watu wanaona ndio kazi imeisha hivyo unaweza pigwa chini na kamati.
 
Ukweli umeupata wapi ww kwa wajumbe 68? [emoji15] Embu kuwa serious [emoji23][emoji23][emoji23] chochote kinaweza tokea hizi kura za maoni watu wanaona ndio kazi imeisha hivyo unaweza pigwa chini na kamati.
Nmesemaje najua kuwa mchakato bado wa kumpata mgombea, ila huyu [emoji1780] hapendwi na wana kigs, why tufiche ukweli ili iweje kwanza? Aaaaaaaaaah
 
Back
Top Bottom