dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
jaman mkeshe salama..!! mimi naona kitanda kina nitongoza hapa
Kumbe ukweli wa jambo hili mnaufahamu fika sasa ilikuwaje jana mkalifanya kuwa 'big deal'?![]()
![]()
Mimi si ulinikataa lakini ukasema unamtaka jje's, kisa mimi nilisema ntakua natumia na bakora![]()
mkuu kuna jamaa wameimba wimbo unaitwa "wowowo" unanikosha sana....![]()
hahaha kumbe umejipanga vilivyo safii
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama nahisi usingizi vile..![]()
tueleze tumjue huyo unayemuwahi

Anamuwahi uliyemlia zile pesa mnazoita "mahari"![]()
Kweli mtu na mshiki wake mmejipanga kunimaliza kabisa....kwani huyo KK ana pesa mingi eeh!![]()
![]()
![]()
Kesho lazima uzushiwe jingine

![]()
![]()
tueleze tumjue huyo unayemuwahi
![]()
![]()
Anamuwahi uliyemlia zile pesa mnazoita "mahari"![]()

ukubalie mkuu, usije sinzia mida ya kazi sisi tumetahiriwa ngozi za macho hakuna usingizijaman mkeshe salama..!! mimi naona kitanda kina nitongoza hapa
jaman mkeshe salama..!! mimi naona kitanda kina nitongoza hapa
Asante kwa kunikumbusha hilo! Nletetewa Nganengo acha kuruka ruka kama popcorn![]()
![]()

Hahahaa hapo ukiona hivyo mahari bado haijatolewa, ndio inabembelezwa mchakato uanze. Vijana wa siku hizi eti wanasema shake well before use...noma sana!
Huyo shemeji mtu keshakula mahari nusu,kwa hiyo dada mtu naona anabembeleza kweli ili nusu iliyobaki imaliziweHahaha usikikubalie mkuu, kina michepuko kibao,jaman mkeshe salama..!! mimi naona kitanda kina nitongoza hapa

Umeshanikana hadharani sitaki tena uwe mwalimu wangu.....labda unifundishe kubet![]()
![]()
![]()
Labda usinichague kua mwalimu wako, ntaongeza idadi maradufu ya bakora![]()
![]()

![]()
![]()
Huyo shemeji mtu keshakula mahari nusu,kwa hiyo dada mtu naona anabembeleza kweli ili nusu iliyobaki imaliziwe
Sio mimi kwakweli, kuna Bundi wawili walioko mahabani ndo walikua wanasambaza huo uzushiKumbe ukweli wa jambo hili mnaufahamu fika sasa ilikuwaje jana mkalifanya kuwa 'big deal'?

Konyagi situmii, labda nikupe viroba nilivyopewa Nleterewa Nganengo juzi!na mzinga wa nyagi mkuu, ili lindo linoge

Afadhali umejitokeza, Leo uchague mwalimu wako kabisa ajulikane![]()
