JamiiForums Usiku wa manane
Wiki kadhaa zilizopita niliwaomba Nleterewa Nganengo na jje's wanifundishe lugha wanayoitumia kuitana mshiki....bila ajizi Nleterewa Nganengo akajitokeza kuwa yeye yuko tayari kunifundisha na ameshaanda na zana za kufundishia, Manga ML akatoa ushauri wa mbinu za kunifundishia,baada ya hapo hakuna kilichoendelea mpaka jana nilipozushiwa ya kuzushwa eti nimtaje mwalimu wangu....

Mimi si ulinikataa lakini ukasema unamtaka jje's, kisa mimi nilisema ntakua natumia na bakora
 
Back
Top Bottom