simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Ulitaka kutoa maelezo gani tofauti na hayo niliyoyase hapo juu embu nyosha maelezo ππππ
Hivi kuna mtu ameamini uongo wako kweli ππ..
π·π·π·
Ulitaka kutoa maelezo gani tofauti na hayo niliyoyase hapo juu embu nyosha maelezo ππππ
Mkuu leo unamood ya vyomboupande wa pili wa mlimanicity
Kama alivyo sema Joh makini mnanisingizia tuHivi kuna mtu ameamini uongo wako kweli..
![]()




Hapo karibu na Mwalimu bank.upande wa pili wa mlimanicity
Kama alivyo sema Joh makini mnanisingizia tu
Walishazushaga kuniita kiwe-kiwembe....![]()
I know what you meanSijui ndio maana nimeuliza.
Popote paleNamna itokee wapi mzee
Mkuu na leo unasingiziwa tena π³Kama alivyo sema Joh makini mnanisingizia tu
Walishazushaga kuniita kiwe-kiwembe....![]()
Huyo side ndo wewe.. be carefulNoma kweli, kitambo hiyo..
![]()
Kama kawaida hawajaacha mzee wananiandama sana hawa watuMkuu na leo unasingiziwa tena![]()

Daily yeye kulialia anasingiziwaMkuu na leo unasingiziwa tena![]()
Mkuu na leo unasingiziwa tena π³
Ila mkuu huoni labla kutakua na ukweli kiasi fulani, kwa nini wakuandame wewe tuKama kawaida hawajaacha mzee wananiandama sana hawa watu![]()
Staki kukuharibia mzee. Wewe piga kimya π..tutaelewana chimboKama kawaida hawajaacha mzee wananiandama sana hawa watu![]()
Unaijua wanok nok ww![]()
Huyu jamaa ni wale tunaita silent killers.. wanakula tunda kimasikhara![]()





Unaushaidi kwenye hilo mzee wangu? Unanifurahisha sana leo lakini Mungu anaokuona in Nay sound
