JamiiForums Usiku wa manane
Shetani anaweza akasimama akakupigia saluti alafu akajiuliza kwa nini hakufikiria kufanya hivyo
Kuna watu ni creative wa madhambi mpaka mungu anakaa kwanza kumanipulate equation ya kuna kumhukumu anashanga ni error za kutosha.
Yaani sir God anakazi kubwa sana ndio maana kuna muda anachelewa kujibu requests za client wake.
 
Back
Top Bottom