Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,751
Nimeanza kuwa na hisia hizo, aliandikiwa message yakimahaba humu humu alafu akamkataa mrembo wa watuHuyu jamaa ni wale tunaita silent killers.. wanakula tunda kimasikhara 😁
Nimeanza kuwa na hisia hizo, aliandikiwa message yakimahaba humu humu alafu akamkataa mrembo wa watuHuyu jamaa ni wale tunaita silent killers.. wanakula tunda kimasikhara 😁
Kuna jambo lao wamedhamiria kulifanya ndio maana wananiandama sana.Ila mkuu huoni labla kutakua na ukweli kiasi fulani, kwa nini wakuandame wewe tu
Tabia ya silent killers wadhoefu huwa hawaachi ushahidi na swali lao kubwa "toa ushahidi"Unaushaidi kwenye hilo mzee wangu? Unanifurahisha sana leo hakina Mungu anaokuona in Nay sound
![]()
![]()
Wachabonisti......ni wazee wa kupiga chabo, Swali, 'je utawatambuaje?'





Mwishoni mwa mwaka tutampa tuzo ya msingiziwaji bora wa mwakaDaily yeye kulialia anasingiziwa
Alaaa nimeiva naona leo huu mkesha wangu kabisaTabia ya silent killers wadhoefu huwa hawaachi ushahidi na swali lao kubwa "toa ushahidi"
Umeiva kijana






Wakina nani?Kuna jambo lao wamedhamiria kulifanya ndio maana wananiandama sana.
Ila mkuu lisemwalo lipo ujue na hata kama halipo ujue kuwa lipo njianiKuna jambo lao wamedhamiria kulifanya ndio maana wananiandama sana.
True mazeeMwishoni mwa mwaka tutampa tuzo ya msingiziwaji bora wa mwaka
Nimeanza kuwa na hisia hizo, aliandikiwa message yakimahaba humu humu alafu akamkataa mrembo wa watu
Inajina lake hivi ndio wanaiitaje ile kwa lugha ya kigeni ile hiko kipengeleMwishoni mwa mwaka tutampa tuzo ya msingiziwaji bora wa mwaka





Kama halipo lajongeaIla mkuu lisemwalo lipo ujue na hata kama halipo ujue kuwa lipo njiani
ww na simiss mnanjama zenu nyie.Wakina nani?
Njama zipi?ww na simiss mnanjama zenu nyie.
Ni fake new kama zile za The Shades Room au TMZIla mkuu lisemwalo lipo ujue na hata kama halipo ujue kuwa lipo njiani





Alaaa nimeiva naona leo huu mkesha wangu kabisa![]()
Haha duuu kweli mwenye nacho anaongezewa 😂😂😂Nafasi ilikuwa zimejaa hadi afanye kufuta files kiasi ila aingize mzigo mpya
Hivi ndo mzigo ule ule wa toka january au 😂😂Oya Super Villain nitumie ule mzigo kama vp