Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,581
- 7,232
Lala wewe05:13
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah nimestuka kuna mijamaa ilikua itupokenye vitendea kazi, tumelala mpaka basiWote hoi meshalala mapema hivi [emoji23][emoji23][emoji23] kwisha habari yenu.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Sasa pale kona bar si ndiyo kabisa ukipewa lindo unajikuta unaacha kuwajibika madada poa wapo wengi wakata viuno tuKulinda mjini kazi sana hasa ukipangwa lindo Sinza,vishawishi vingi
Hujambo binti5:50
Wewe hulali5:50
Mama D hivi upo[emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
Bana wee, mie nishafanya yangu nasubiri muda nikabidhi lindo ,niingie zangu KING D[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Sasa pale kona bar si ndiyo kabisa ukipewa lindo unajikuta unaacha kuwajibika madada poa wapo wengi wakata viuno tu
Piga maombiSatan is every now
NimelalaWewe hulali
Sijambo, shikamoo..Hujambo binti
Unaingia kuwajibika silaha umepokonywaBana wee, mie nishafanya yangu nasubiri muda nikabidhi lindo ,niingie zangu KING D
Hufumbi machoNimelala
Marhabaa ,uko kimya sana tatizo nn tena ,jiandae tukasali St Peter muda ndio huuSijambo, shikamoo..