Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,581
- 7,231
Lala wewe05:13
Wote hoi meshalala mapema hivikwisha habari yenu.



Dah nimestuka kuna mijamaa ilikua itupokenye vitendea kazi, tumelala mpaka basiKulinda mjini kazi sana hasa ukipangwa lindo Sinza,vishawishi vingi
Sasa pale kona bar si ndiyo kabisa ukipewa lindo unajikuta unaacha kuwajibika madada poa wapo wengi wakata viuno tuHujambo binti5:50
Wewe hulali5:50
Mama D hivi upo
Bana wee, mie nishafanya yangu nasubiri muda nikabidhi lindo ,niingie zangu KING D![]()
![]()
![]()
Sasa pale kona bar si ndiyo kabisa ukipewa lindo unajikuta unaacha kuwajibika madada poa wapo wengi wakata viuno tu
Piga maombiSatan is every now
NimelalaWewe hulali
Sijambo, shikamoo..Hujambo binti
Unaingia kuwajibika silaha umepokonywaBana wee, mie nishafanya yangu nasubiri muda nikabidhi lindo ,niingie zangu KING D
Hufumbi machoNimelala
Marhabaa ,uko kimya sana tatizo nn tena ,jiandae tukasali St Peter muda ndio huuSijambo, shikamoo..