JamiiForums Usiku wa manane
Hahahaha, mie mwenzio nishatekwa ,sasa na hamishwa sijui napelekwa wapi ,ukiona kimya ujue mtekaji na mtekwaji wameelewana Ransom
Duh! Kwa hiyo umetekwa na mmoja au wote wawili? Kama ni mmoja huyo mwingine kabaki wapi nami nije aniteke.

Mzee kama nakuona vile unavyofurahia kutekwa asubuhi hii
 
Back
Top Bottom