orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,962
- 4,931
Hata Mimi nimeona,naona kapita chapu sijui kaelekea pande zipiNight Support Naona juhudi zako.
Hata Mimi nimeona,naona kapita chapu sijui kaelekea pande zipiNight Support Naona juhudi zako.
Pole chifu jf ni zaidi ya habari![]()


Humu unaweza sema kuna mahali pana bom na watu wakakubishia taarifa za humu ni mbayuwayu lazima ujiongeze kwenye kichwa chako.Yupo kimwendo kasi zaidi.Hata Mimi nimeona,naona kapita chapu sijui kaelekea pande zipi
Sio zote mkuu,kuna watoto wako uku kuanzia tarehe 29 wakirudi shule,ujinga utapungua,kuna watu na watuHumu unaweza sema kuna mahali pana bom na watu wakakubishia taarifa za humu ni mbayuwayu lazima ujiongeze kwenye kichwa chako.
Acha warudi wakale maharage mabovu huko kwanzaSio zote mkuu,kuna watoto wako uku kuanzia tarehe 29 wakirudi shule,ujinga utapungua,kuna watu na watu


Childish age,itapita tuu no way outAcha warudi wakale maharage mabovu huko kwanza![]()
Hii corona imeleta balaa kwenye kuwekana quarantine kunawatu wamepitia changamoto kubwa sana hakikaChildish age,itapita tuu no way out

Kwenye jambo hakukosi jambo mkuuHii corona imeleta balaa kwenye kuwekana quarantine kunawatu wamepitia changamoto kubwa sana hakika![]()
Nilikuwa naangalia kipindi fulani hivi jana hapa wasafi TV kinaitwa women matters kuna sis mmoja alikuwa anatoa mkasa kuwa mtoto wa kwa kwanza wa familia fulani kawapa mimba dada zake wote kipindi hiki cha lockdown wakati watt hawaendi shuleKwenye jambo hakukosi jambo mkuu
alafu ni watt wa baba mmoja mama mmoja. 
Eh hapo kazi IPO asee ,hivi vyakula watu wanakula afu wanafungiwa ndani ni hatari,lawama ziwaendee wazazi popote pale walipoNilikuwa naangalia kipindi fulani hivi jana hapa wasafi TV kinaitwa woman matters kuna sis mmoja alikuwa anatoa mkasa kuwa mtoto wa kwa kwanza wa familia fulani kawapa mimba dada zake wote kipindi hiki cha lockdown wakati watt hawaendi shulealafu ni watt wa baba mmoja mama mmoja.
![]()
Age ya kijana wake wa kiume ni 17 ambaye ni wakwanza wapili 15 watatu 13 Mother alikuwa akisema alijua dalili mapema baada ya kuona mabinti zake hawaingii mwezini tena akashtuka akamuita kijana wake private akamuuliza kijana hajakata kabisa kakubali kuwa ni yy ndio kaweka. duh lazima uchanganyikiwe kabisa.Eh hapo kazi IPO asee ,hivi vyakula watu wanakula afu wanafungiwa ndani ni hatari,lawama ziwaendee wazazi popote pale walipo
#malezi mkuuAge ya kijana wake wa kiume ni 17 ambaye ni wakwanza wapili 15 watatu 13 Mother alikuwa akisema alijua dalili mapema baada ya kuona mabinti zake hawaingii mwezini tena akashtuka akamuita kijana wake private akamuuliza kijana hajakata kabisa kakubali kuwa ni yy ndio kaweka. duh lazima uchanganyikiwe kabisa.
Hii age damu ni yamoto kweli mkishika ovyo hasa ikiwa michezo ya kukumbatiana mnasahau undugu kabisa#malezi mkuu

Satan is every nowHii age damu ni yamoto kweli mkishika ovyo hasa ikiwa michezo ya kukumbatiana mnasahau undugu kabisa![]()
Muda wote yupo kazini.Satan is every now

Dah aliye funga kigodolo leo kweli kanipita usingizi ni wamanati kweli leo![]()
Pole